Zanzibar Business And Property Registration Agency

Departments

  • Lengo la idara hii ni kuimarisha uwezo wa BPRA ili kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi.
  • Kuratibu shughuli zinazohusiana na kazi za rasilimali watu, Utawala na Mipango;
  • Kuratibu na kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka;
  • Kuratibu na kufanya tathmini za utendaji kwa wafanyakazi walio chini ya vitengo vyake na taasisi kwa ujumla kwa uwazi na ukweli;
  • Kuratibu na kutekeleza sera, bajeti ya mwaka na mpango kazi wa Idara;
  • Kuratibu Mkataba wa huduma kwa umma;
  • Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji kuhusiana na kazi za Idara. Idara hii inaongozwa na Mkurugenzi na ina Divisheni tatu (3) Divisheni kama ifuatavyo:
  • Divisheni ya Rasilimali Watu. 
  • Divisheni ya Mipango na Takwimu
  • Divisheni ya Utawala Kumbukumbu.

Lengo la Idara hii ni kusimamia na kuimarisha Mifumo ya usajili ya Tehama.

Majukumu ya Idara:

  • Kuratibu mifumo ya usajili na kazi zinazohusiana na teknolojia ya habari na miundombinu yake;
  • Kuratibu uandaaji, utekelezaji na tathmini ya miradi inayohusiana na teknolojia ya Habari;
  • Kuratibu na kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka
  • Kuratibu na kuandaa bajeti ya mwaka ya Idara;
  • Kuandaa na kusimamia mpango kazi wa Idara:
  • Kushiriki katika kutekeleza Sera zinazohusiana na Idara;
  • Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji kuhusiana na masuala ya Idara;
  • Kuratibu na Kufanya tathmini za utendaji za Wafanyakazi walio chini yake kwa uwazi na ukweli na kuwasilisha kwa mamlaka husika;

Idara hii inaongozwa na Mkurugenzi na ina Divisheni mbili (2) kama ifuatavyo:

  • Divisheni ya Usimamizi wa Mifumo ya Usajili;
  • Divisheni ya Uzalishaji na Uchambuzi wa Mifumo;

Majukumu ya Ofisi: Ofisi itakuwa na jukumu la kuratibu na kusimamia wa utekelezaji wa kazi za BPRA kwa upande wa Pemba,Ofisi hii inaongozwa na Naibu Mrajis dhamana

Majukumu ya Ofisi: Ofisi itakuwa na jukumu la kuratibu na kusimamia wa utekelezaji wa kazi za BPRA kwa upande wa Pemba,Ofisi hii inaongozwa na Naibu Mrajis dhamana 1 Divisheni ya Usajili wa Ubia Na Biashara ya Mtu Mmoja Majukumu:

i. Kusajili Ubia na Biashara ya Mtu Mmoja kwa mujibu wa sheria husika; ii. kutoa taarifa za usajili wa Taasisi za biashara kwa mujibu wa mahitaji; iii. Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka; iv. Kuandaa bajeti ya mwaka ya Divisheni; v. Kushiriki katika utekelezaji wa sera zinazohusiana na Divisheni; vi. Kufanya tathmini za utendaji za Wafanyakazi walio chini ya Kitengo chake kwa uwazi na ukweli na kuwasilisha kwa mamlaka husika; vii. Kumshauri Mkurugenzi wa Idara ya Biashara kuhusiana na usajili wa kazi za Divisheni;

  • Kufanya usajili wa tasnia za mali bunifu kwa mujibu wa sheria husika;

  • Kutoa taarifa na takwimu za kazi mali Bunifu;

  • Kusimamia katika uthibitishaji wa nyaraka za mali bunifu

    zinazotakiwa kusajiliwa kwa mujibu wa taratibu;

  • Kutoa taarifa za usajili wa Mali bunifu kwa mujibu wa mahitaji;

  • Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka;

  • Kuandaa bajeti ya mwaka ya Divisheni;

  • Kushiriki katika utekelezaji wa sera zinazohusiana na Divisheni;

  • Kufanya tathmini za utendaji za Wafanyakazi walio chini ya Kitengo

    chake kwa uwazi na ukweli na kuwasilisha kwa mamlaka husika;

Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji namna bora ya utekelezaji wa kazi

za usajili wa mali za BPRA;

Divisheni hii inaongozwa na Msaidizi Msajili

  • Kusimamia usajili wa nyaraka pamoja na mikataba ya Amana kwa mali zinazohamishika
  • Kuhakiki nyaraka na mikataba ya Amana kwa mali zinazohamishika zinazohitaji kusajiliwa
  • Kuweka na kutoa taarifa za kumbukumbu za usajili wa nyaraka na mikataba ya amana kwa mali zinazohamishika.
  • Kusimamia mirathi na mali za wasiokuwa waislamu
  • Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka;
  • Kuandaa bajeti ya mwaka ya Divisheni;
  • Kushiriki katika utekelezaji wa sera zinazohusiana na Divisheni;
  • Kufanya tathmini za utendaji za Wafanyakazi walio chini ya Kitengo chake
  • kwa uwazi na ukweli na kuwasilisha kwa mamlaka husika;
  • Kumshauri Mkurugenzi wa Idara juu ya namna bora ya utekelezaji wa kazi za usajili nyaraka, mirathi na mikataba ya Amana kwa mali zinazohamishika.

Divisheni hii inaongozwa na Msaidizi Msajili

  • Kusimamia na kufanya usajili wa kampuni zinazoendesha biashara kwa mujibu wa sharia;

  • Kusimamia na kufanya usajili wa mashirika ya Serikali yaliyoanzishwa kwa mujibu wa sheria;

  • Kusimamia kazi za ufilisi wa kampuni zilizosajiliwa Zanzíbar;

  • Kusimamia usajili wa hesabu za mwaka kwa mujibu wa sheria husika;

  • Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka;

  • Kuandaa bajeti ya mwaka ya Divishen

  • Kuratibu utekelezaji wa sera zinazohusiana na Divisheni;

  • Kufanya tathmini za utendaji za Wafanyakazi walio chini ya Kitengo chake kwa uwazi na ukweli na kuwasilisha kwa mamlaka husika;

  • Kumshauri Mkurugenzi wa Idara ya Biashara kuhusiana na kazi za Divisheni;

    Divisheni hii inaongozwa na Msaidizi Msajili:

USER GUIDE FOR ORSZ
Firm
Company
Documents
About Us
Contact Us
CONTACT US
USER GUIDE FOR ORSZ
Firm
Company
Documents
About Us
Contact Us

©2023 - Zanzibar Business and Property Registration. Developed by: CMB

Terms and Conditions / Privacy and Policy